23 Basi Yoshua akaichukua nchi yote, kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwahidi Musa,+ kisha Yoshua akawapa Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao, kulingana na makabila yao.+ Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+
4 Na sasa Yehova Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko, kama vile alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini, mwende zenu mahemani mwenu katika nchi ya miliki yenu, ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ile nyingine ya Yordani.+