Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nawe+ nami hakika nitakupa wewe pumziko.”+

  • Yoshua 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kumbukeni neno lile ambalo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru,+ akisema, ‘Yehova Mungu wenu anawapa ninyi pumziko naye amewapa nchi hii.

  • Yoshua 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Yoshua akaichukua nchi yote, kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwahidi Musa,+ kisha Yoshua akawapa Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao, kulingana na makabila yao.+ Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+

  • Yoshua 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na sasa Yehova Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko, kama vile alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini, mwende zenu mahemani mwenu katika nchi ya miliki yenu, ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ile nyingine ya Yordani.+

  • Methali 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki