27 “Na nitatuma mbele yako hali ya kuniogopa,+ nami hakika nitawavuruga watu wote utakaoingia katikati yao, nami kwa kweli nitakupa shingo za adui zako wote.+
2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Mnaingia katika nchi ya Kanaani.+ Hiyo ndiyo nchi itakayowaangukia kwa urithi,+ nchi ya Kanaani kulingana na mipaka yake.+
23 Yehova pia atayafukuzia mbali mataifa yote haya kwa sababu yenu,+ nawe hakika utayafukuza mataifa yaliyo makubwa zaidi na yenye watu wengi zaidi kuliko wewe.+