Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 ili kuyafukuzia mbali mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko wewe kutoka mbele yako, ili akulete ndani, akupe nchi yao iwe urithi kama ilivyo leo hii.+

  • Yoshua 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na eneo lenu litakuwa kutoka nyika hii na huu mlima Lebanoni mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ na mpaka kwenye ile Bahari Kuu upande wa magharibi.+

  • Yoshua 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+

  • Yeremia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami mwenyewe nimesema, ‘Lo! jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi yenye kutamanika,+ fungu la urithi la pambo la majeshi ya mataifa!’ Nami nikasema tena, Ninyi mtaniita ‘ “Baba yangu!”+ nanyi hamtarudi mwache kunifuata.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki