31 “Nami nitauweka mpaka wako kutoka Bahari Nyekundu hadi bahari ya Wafilisti na kutoka nyikani hadi kwenye Mto;+ kwa sababu nitawaweka wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, na hakika wewe utawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+
3 “‘Na upande wenu wa kusini utakuwa kutoka nyika ya Zini kando ya Edomu,+ nao mpaka wenu wa kusini utakuwa kutoka mwisho wa Bahari ya Chumvi+ upande wa mashariki.
7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+
4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.