Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Kutoka 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nami nitauweka mpaka wako kutoka Bahari Nyekundu hadi bahari ya Wafilisti na kutoka nyikani hadi kwenye Mto;+ kwa sababu nitawaweka wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, na hakika wewe utawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+

  • Hesabu 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Na upande wenu wa kusini utakuwa kutoka nyika ya Zini kando ya Edomu,+ nao mpaka wenu wa kusini utakuwa kutoka mwisho wa Bahari ya Chumvi+ upande wa mashariki.

  • Kumbukumbu la Torati 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+

  • Yoshua 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki