Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • 1 Wafalme 8:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na Sulemani akaifanya sherehe hiyo wakati huo,+ na Israeli wote pamoja naye, kutaniko kubwa+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ mbele za Yehova, Mungu wetu, siku saba na tena siku nyingine saba,+ siku kumi na nne.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki