Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+ 2 Mambo ya Nyakati 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Sulemani akaifanya sherehe+ hiyo wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamoja naye,+ kutaniko kubwa sana+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri.+
34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+
8 Na Sulemani akaifanya sherehe+ hiyo wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamoja naye,+ kutaniko kubwa sana+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri.+