Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+

  • Hesabu 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Sherehe ya vibanda+ utaisherehekea kwa ajili yako mwenyewe kwa siku saba wakati ambapo unakusanya kutoka katika uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo la divai.

  • Ezra 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha wakafanya sherehe ya vibanda+ kulingana na yaliyoandikwa,+ na dhabihu za kuteketezwa siku kwa siku kwa hesabu kulingana na kanuni ya kile kilichotakiwa kila siku.+

  • Nehemia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+

  • Zekaria 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+

  • Yohana 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, sherehe ya Wayahudi, ile sherehe ya vibanda,+ ilikuwa karibu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki