Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani.

  • Hesabu 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mtajihesabia majuma saba. Tangu wakati ambapo mundu unawekwa kwa mara ya kwanza kwenye nafaka inayosimama utaanza kuhesabu majuma saba.+

  • Matendo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi siku ya sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea walikuwa wote pamoja mahali pale pale,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki