Kutoka 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+ Hesabu 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika siku ya kwanza kutakuwako mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+
14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+