Kutoka 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Siku sita kazi inaweza kufanywa,+ lakini siku ya saba itakuwa kitu kitakatifu kwenu, sabato ya pumziko kamili kwa Yehova. Mtu yeyote anayefanya kazi siku hiyo atauawa.+ Hesabu 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Wana wa Israeli walipokuwa nyikani, siku moja walimkuta mtu akikusanya kuni siku ya sabato.+ Hesabu 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+
2 Siku sita kazi inaweza kufanywa,+ lakini siku ya saba itakuwa kitu kitakatifu kwenu, sabato ya pumziko kamili kwa Yehova. Mtu yeyote anayefanya kazi siku hiyo atauawa.+
35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+