Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+

  • Hesabu 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Wana wa Israeli walipokuwa nyikani, siku moja walimkuta mtu akikusanya kuni siku ya sabato.+

  • Hesabu 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki