Kutoka 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+ Hesabu 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Wana wa Israeli walipokuwa nyikani, siku moja walimkuta mtu akikusanya kuni siku ya sabato.+ Hesabu 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+
14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+
35 Baada ya muda Yehova akamwambia Musa: “Mtu huyo lazima auawe,+ kusanyiko lote litampiga kwa mawe nje ya kambi.”+