Kumbukumbu la Torati 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+ Isaya 56:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwenye furaha ni yule mwanadamu anayeweza kufa ambaye hufanya jambo hili,+ na mwana wa binadamu anayelishika,+ anayeishika sabato ili asiitie unajisi,+ na kuuzuia mkono wake ili asitende ubaya wa aina yoyote.+
12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+
2 Mwenye furaha ni yule mwanadamu anayeweza kufa ambaye hufanya jambo hili,+ na mwana wa binadamu anayelishika,+ anayeishika sabato ili asiitie unajisi,+ na kuuzuia mkono wake ili asitende ubaya wa aina yoyote.+