Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika siku hizo niliona katika Yuda watu wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya sabato+ na kuingiza marundo ya nafaka na kuyapakia+ juu ya punda,+ na pia divai, zabibu na tini+ na kila namna ya mzigo, na kuviingiza Yerusalemu siku ya sabato;+ nami nikatoa ushahidi juu yao siku waliyokuwa wakiuza vyakula.

  • Isaya 58:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa kwa ajili ya sabato utarudisha nyuma mguu wako kuhusiana na kuyafanya mapendezi yako mwenyewe katika siku yangu takatifu,+ na kwa kweli uiite sabato kuwa ni furaha tele, siku takatifu ya Yehova, inayotukuzwa,+ nawe kwa kweli uitukuze badala ya kufanya njia zako mwenyewe, badala ya kutafuta kinachokupendeza na kusema neno;

  • Waebrania 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo bado limebaki pumziko la sabato kwa ajili ya watu wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki