13 Ikiwa kwa sababu ya Sabato unaacha kufuatilia mapendezi yako mwenyewe katika siku yangu takatifu+
Nawe uiite Sabato kuwa ni furaha tele, siku takatifu ya Yehova, siku ya kutukuzwa,+
Nawe uitukuze badala ya kufuatilia mapendezi yako mwenyewe na kusema maneno ya upuuzi,