Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hizo niliwaona watu huko Yuda wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya Sabato,+ wakileta marundo ya nafaka na kuyapakia juu ya punda, wakileta divai, zabibu, tini, na kuingiza kila aina ya mzigo Yerusalemu siku ya Sabato.+ Basi nikawaonya wasiuze bidhaa siku hiyo.*

  • Isaya 56:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mwenye furaha ni mtu anayefanya jambo hili

      Na mwana wa mtu anayeendelea kulishika kabisa,

      Anayeishika Sabato na asiyeitia unajisi+

      Na ambaye anauzuia mkono wake usitende uovu wowote.

  • Yeremia 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova anasema hivi: “Jihadharini, nanyi msibebe mzigo wowote siku ya Sabato wala kuuingiza kupitia malango ya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki