Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika siku hizo niliona katika Yuda watu wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya sabato+ na kuingiza marundo ya nafaka na kuyapakia+ juu ya punda,+ na pia divai, zabibu na tini+ na kila namna ya mzigo, na kuviingiza Yerusalemu siku ya sabato;+ nami nikatoa ushahidi juu yao siku waliyokuwa wakiuza vyakula.

  • Isaya 56:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwenye furaha ni yule mwanadamu anayeweza kufa ambaye hufanya jambo hili,+ na mwana wa binadamu anayelishika,+ anayeishika sabato ili asiitie unajisi,+ na kuuzuia mkono wake ili asitende ubaya wa aina yoyote.+

  • Yeremia 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova amesema hivi: “Angalieni nafsi zenu,+ nanyi msibebe mzigo wowote katika siku ya sabato ili kuuingiza kupitia malango ya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki