15 Siku hizo niliwaona watu huko Yuda wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya Sabato,+ wakileta marundo ya nafaka na kuyapakia juu ya punda, wakileta divai, zabibu, tini, na kuingiza kila aina ya mzigo Yerusalemu siku ya Sabato.+ Basi nikawaonya wasiuze bidhaa siku hiyo.