23 “Na hakika itatukia kwamba kutoka mwezi mpya mpaka mwezi mpya na kutoka sabato mpaka sabato wanadamu wote wataingia ili kuinama mbele zangu,”+ Yehova amesema.
16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+