Zaburi 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+ Zaburi 103:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+
8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+