Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+ Nehemia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+ Yohana 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, sherehe ya Wayahudi, ile sherehe ya vibanda,+ ilikuwa karibu.
34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+
14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+