16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+
13 “Sherehe ya vibanda+ utaisherehekea kwa ajili yako mwenyewe kwa siku saba wakati ambapo unakusanya kutoka katika uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo la divai.
14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+