Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Sherehe ya vibanda+ utaisherehekea kwa ajili yako mwenyewe kwa siku saba wakati ambapo unakusanya kutoka katika uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo la divai.

  • Nehemia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+

  • Yohana 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, sherehe ya Wayahudi, ile sherehe ya vibanda,+ ilikuwa karibu.

  • Yohana 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi siku ya mwisho, ile siku kuu ya sherehe,+ Yesu alikuwa amesimama, naye akapaaza sauti, akisema: “Ikiwa yeyote ana kiu,+ acheni aje kwangu na kunywa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki