16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+
24 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika mwezi wa saba,+ siku ya kwanza ya mwezi huo, mtakuwa na pumziko kamili, ukumbusho kwa kupiga tarumbeta,+ mkusanyiko mtakatifu.+
29“‘Na katika mwezi wa saba, siku ya kwanza ya mwezi huo, mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+ Itakuwa siku ya kupiga tarumbeta kwenu.+
12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+