7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+
12 Na itatukia katika siku ile kwamba Yehova atayapiga matunda,+ kuanzia kijito kinachotiririka cha ule Mto+ mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ na basi ninyi mtaokotwa mmoja baada ya mwingine,+ enyi wana wa Israeli.