4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.
47 Ashdodi,+ miji yake ya kandokando na makao yake; Gaza,+ miji yake ya kandokando na makao yake, hadi kwenye bonde la mto la Misri, na ile Bahari Kuu na eneo jirani.+