Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Nehemia 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mtakaporudi kwangu+ na kuzishika amri zangu+ na kuzifanya,+ hata watu wenu waliotawanywa wawe katika mwisho wa mbingu, kutoka huko nitawakusanya+ na kuwaleta+ mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+

  • Yeremia 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Rudini, enyi wana waasi,’+ asema Yehova. “Kwa maana mimi nimekuwa mume wenu;+ nami nitawachukua, mmoja kutoka katika jiji moja na wawili kutoka katika familia moja, nami nitawaleta ninyi Sayuni.+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

  • Luka 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ni nani kati yenu mwenye kondoo 100, anapopoteza mmoja wao, hatawaacha wale 99 nyikani na kwenda kumtafuta aliyepotea mpaka ampate?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki