12 Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.+
15 Na itatukia kwamba baada ya kuwang’oa hakika tena nitawaonyesha rehema+ na kuwarudisha, kila mmoja kwenye fungu la urithi wake na kila mmoja kwenye shamba lake.”+