Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova anajenga Yerusalemu;+

      Huwakusanya pamoja waliotawanywa wa Israeli.+

  • Isaya 66:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao kwa kweli watawaleta ndugu zenu wote kutoka katika mataifa+ yote kuwa zawadi kwa Yehova,+ wakiwa juu ya farasi na ndani ya magari na ndani ya magari ya kukokotwa yaliyofunikwa na juu ya nyumbu na juu ya ngamia-jike+ wepesi, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu,+ Yerusalemu,” Yehova amesema, “kama vile wana wa Israeli wanavyoleta zawadi katika chombo safi ndani ya nyumba ya Yehova.”+

  • Obadia 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wahamishwa wa boma hili,+ wana wa Israeli, eneo lililomilikiwa na Wakanaani+ mpaka Sarefathi+ litakuwa lao. Na wahamishwa wa Yerusalemu, waliokuwa katika Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+

  • Zekaria 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Haya, Sayuni!+ Ponyoka, wewe unayekaa na binti Babiloni.+

  • Mathayo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki