Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ugomvi ukatokea kati ya wachungaji wa mifugo ya Abramu na wachungaji wa mifugo ya Loti; na wakati huo Mkanaani na Mperizi walikuwa wakikaa katika nchi hiyo.+

  • Zekaria 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kila chungu cha kupikia chenye mdomo mpana katika Yerusalemu na katika Yuda kitakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova wa majeshi, na wale wote wanaotoa dhabihu wataingia na kuchukua kutoka ndani yake na kuchemshia ndani yake.+ Na katika siku hiyo hakutakuwa na Mkanaani+ tena katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki