21 Na kila chungu cha kupikia kilicho Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu na kitakuwa cha Yehova wa majeshi, na wale wote wanaotoa dhabihu wataingia na kutumia baadhi ya vyungu hivyo kuchemshia. Siku hiyo hakutakuwa tena na Mkanaani katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+