13 Na kwa habari ya haki inayostahiliwa ya makuhani kutoka kwa watu,+ wakati ambapo mtu yeyote alipokuwa akitoa dhabihu, mtumishi wa kuhani alikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake, nyama ilipoanza tu kutokota,+
23 Na kulikuwa na mstari kuzizunguka pande zote, kuzizunguka zote nne pande zote, na kulikuwa na mahali pa kutokosea+ palipofanywa chini ya mistari hiyo kuzunguka pande zote.