Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nanyi mtapika na kula+ katika mahali ambapo Yehova Mungu wenu atapachagua,+ na wakati wa asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu.

  • 1 Samweli 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kwa habari ya haki inayostahiliwa ya makuhani kutoka kwa watu,+ wakati ambapo mtu yeyote alipokuwa akitoa dhabihu, mtumishi wa kuhani alikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake, nyama ilipoanza tu kutokota,+

  • Ezekieli 46:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na kulikuwa na mstari kuzizunguka pande zote, kuzizunguka zote nne pande zote, na kulikuwa na mahali pa kutokosea+ palipofanywa chini ya mistari hiyo kuzunguka pande zote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki