13 Nao wakapika+ toleo la pasaka+ juu ya moto kulingana na desturi; na vile vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu wakavipika+ katika vyungu vya kupikia na katika vyungu vyenye makalio ya mviringo na katika mabakuli ya karamu, kisha wakalileta haraka kwa wana wote wa watu.+