Obadia 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Waliohamishwa kutoka katika boma hili,*+Naam, Waisraeli, watamiliki nchi ya Wakanaani mpaka Sarefathi.+ Na waliohamishwa kutoka Yerusalemu, waliokuwa Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+
20 Waliohamishwa kutoka katika boma hili,*+Naam, Waisraeli, watamiliki nchi ya Wakanaani mpaka Sarefathi.+ Na waliohamishwa kutoka Yerusalemu, waliokuwa Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+