Yeremia 32:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 ‘Tazama, ninawakusanya pamoja kutoka katika nchi zote ambako nitakuwa nimewatawanya katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu na katika hasira kuu;+ nami nitawarudisha mahali hapa na kuwakalisha katika usalama.+ Ezekieli 36:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitawatoa ninyi kutoka kwa mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi zote na kuwaingiza katika nchi yenu.+
37 ‘Tazama, ninawakusanya pamoja kutoka katika nchi zote ambako nitakuwa nimewatawanya katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu na katika hasira kuu;+ nami nitawarudisha mahali hapa na kuwakalisha katika usalama.+
24 Nami nitawatoa ninyi kutoka kwa mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi zote na kuwaingiza katika nchi yenu.+