Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Isaya 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+

  • Yeremia 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+

  • Ezekieli 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitawatoa+ kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya pamoja kutoka katika zile nchi na kuwaleta kwenye nchi yao+ na kuwalisha kwenye milima ya Israeli, kando ya vijito na kando ya makao yote ya nchi.+

  • Ezekieli 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nawe uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawachukua wana wa Israeli kutoka katikati ya mataifa ambako wameenda, nami nitawakusanya kutoka pande zote na kuwaleta katika nchi yao.+

  • Hosea 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wana wa Yuda na wana wa Israeli hakika watakusanywa pamoja katika umoja+ nao kwa kweli watajiwekea kichwa kimoja nao watatoka katika ile nchi,+ kwa maana siku ya Yezreeli+ itakuwa kuu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki