Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Utuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

      Na utukusanye pamoja kutoka kwa mataifa+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu,+

      Ili tukusifu kwa shangwe.+

  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova atatoa tena mkono wake, mara ya pili,+ ili kuchukua mabaki ya watu wake watakaobaki kutoka Ashuru+ na kutoka Misri+ na kutoka Pathrosi+ na kutoka Kushi+ na kutoka Elamu+ na kutoka Shinari+ na kutoka Hamathi na kutoka visiwa vya bahari.+

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

  • Yeremia 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitajiacha mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitakusanya kundi lenu la mateka na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na kutoka katika mahali pote ambapo nimewatawanya ninyi,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha katika mahali ambapo kutoka hapo niliwapeleka uhamishoni.’+

  • Yeremia 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tazama, ninawaleta kutoka katika nchi ya kaskazini,+ nami nitawakusanya kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Kati yao patakuwa na vipofu na vilema, mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja.+ Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+

  • Zekaria 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Nitawapigia mluzi+ na kuwakusanya pamoja; kwa maana nitawakomboa,+ nao watakuwa wengi, kama wale ambao wamekuwa wengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki