13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+
12 Siku hiyo watakujia hata kutoka Ashuru na majiji ya Misri, na kutoka Misri hata kufika ule Mto;+ na kutoka bahari mpaka bahari, na kutoka mlima mpaka ule mlima.+