13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+
10 Nami nitawarudisha kutoka nchi ya Misri;+ nitawakusanya pamoja kutoka Ashuru;+ nami nitawaleta katika nchi ya Gileadi+ na Lebanoni, wala nafasi haitapatikana kwa ajili yao.+