19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye uwanja wake wa malisho,+ na hakika yeye atalisha juu ya Karmeli+ na juu ya Bashani;+ na katika eneo lenye milima la Efraimu+ na la Gileadi+ nafsi yake itashiba.’”
25 Kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu,+ kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi+ za Israeli mpaka hesabu+ kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia,+