1 Wakorintho 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Acheni mtu atukadirie sisi hivyo kuwa tuko chini ya+ Kristo nasi ni wasimamizi-nyumba+ wa siri takatifu+ za Mungu. Waefeso 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika vizazi vingine siri hii+ haikujulishwa kwa wana wa binadamu kama vile ambavyo imefunuliwa+ sasa kwa mitume wake watakatifu na manabii+ kupitia roho,
4 Acheni mtu atukadirie sisi hivyo kuwa tuko chini ya+ Kristo nasi ni wasimamizi-nyumba+ wa siri takatifu+ za Mungu.
5 Katika vizazi vingine siri hii+ haikujulishwa kwa wana wa binadamu kama vile ambavyo imefunuliwa+ sasa kwa mitume wake watakatifu na manabii+ kupitia roho,