Mathayo 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+ Waroma 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa kwa yeye+ anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu+ ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale
11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+
25 Sasa kwa yeye+ anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu+ ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale