Luka 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+
10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+