Isaya 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+ Mathayo 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+ Marko 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akaanza kuwaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yanatukia kwa mifano,+
9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+
11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+
11 Naye akaanza kuwaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yanatukia kwa mifano,+