Mathayo 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+ Luka 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+ Wakolosai 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Endeleeni kutembea kwa hekima kuelekea wale walio nje,+ mkijinunulia wakati unaofaa.+ 1 Timotheo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Zaidi ya hayo, anapaswa pia kuwa na ushuhuda mzuri kutoka kwa watu walio nje,+ ili asianguke katika shutuma na mtego+ wa Ibilisi.
11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+
10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+
7 Zaidi ya hayo, anapaswa pia kuwa na ushuhuda mzuri kutoka kwa watu walio nje,+ ili asianguke katika shutuma na mtego+ wa Ibilisi.