Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+

  • Luka 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+

  • Wakolosai 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Endeleeni kutembea kwa hekima kuelekea wale walio nje,+ mkijinunulia wakati unaofaa.+

  • 1 Timotheo 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, anapaswa pia kuwa na ushuhuda mzuri kutoka kwa watu walio nje,+ ili asianguke katika shutuma na mtego+ wa Ibilisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki