1 Wakorintho 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu. Waefeso 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kwa kuwa alitujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Ni kulingana na upendezi wake mwema alioukusudia ndani yake mwenyewe+ Wakolosai 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo+ iliyopita na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa+ kwa watakatifu wake,
10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu.
9 kwa kuwa alitujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Ni kulingana na upendezi wake mwema alioukusudia ndani yake mwenyewe+
26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo+ iliyopita na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa+ kwa watakatifu wake,