Luka 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 sawa na vile wale ambao tangu mwanzo+ walikuwa mashahidi wa kujionea+ na watumishi wa ujumbe+ walivyotuletea haya, 2 Wakorintho 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.”
2 sawa na vile wale ambao tangu mwanzo+ walikuwa mashahidi wa kujionea+ na watumishi wa ujumbe+ walivyotuletea haya,
20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.”