5Kwa hiyo, ninawapa himizo hili wanaume wazee walio kati yenu, kwa kuwa mimi pia ni mwanamume mzee+ pamoja nao na shahidi+ wa mateso ya Kristo, mshiriki hata wa utukufu utakaofunuliwa:+
16 Sivyo, haikuwa kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa+ kwa ufundi kwamba tuliwafahamisha ninyi juu ya nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo,+ lakini ilikuwa kwa sisi kuwa mashahidi wa kujionea fahari yake.+