8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,
5Kwa hiyo, ninawapa himizo hili wanaume wazee walio kati yenu, kwa kuwa mimi pia ni mwanamume mzee+ pamoja nao na shahidi+ wa mateso ya Kristo, mshiriki hata wa utukufu utakaofunuliwa:+