8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
22 kuanzia na ubatizo wake uliofanywa na Yohana+ mpaka siku aliyopokewa juu kutoka kwetu,+ mmoja wa watu hao anapaswa kuwa shahidi pamoja nasi juu ya ufufuo wake.”+