Mathayo 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hayupo hapa, kwa maana alifufuliwa,+ kama alivyosema. Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. Marko 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akawaambia: “Acheni kufadhaika. Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyetundikwa mtini.+ Alifufuliwa,+ hayupo hapa. Tazameni! Mahali walipomlaza.+ Matendo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+
6 Akawaambia: “Acheni kufadhaika. Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyetundikwa mtini.+ Alifufuliwa,+ hayupo hapa. Tazameni! Mahali walipomlaza.+
9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+